Takukuru ya ibana Kampuni ya GENEVA CREDIT SHOP ya riba umiza ya Abubakari Mapesa kuwalipa walimu wastaafu zaidi ya shilingi milioni 176.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma imetoa wito kwa wakopeshaji wa fedha Mkoani hapa kuzingatia Kanuni na taratibu za nchi na kuacha tabia ya kuwatoza wananchi riba umiza.Wito huo unatolewa na Taasisi hiyo baada ya kurejesha jumla ya fedha shilingi milioni 176,565,000 kwa wananchi wanyonge waliodhurumiwa wengi wao wakiwa ni